Tuesday, May 31, 2011

PACHA WA P-SQUARE AVAMIWA NA MAJAMBAZI

Mmoja wa pacha wanaounda kundi la P-Square,Paul Okoye alionja joto ya jiwe baada ya kuvamiwa na majambazi alipokuwa njiani kuelekea Victoria Island kucheki washikaji zake Paul alikuwa akiendesha mkoko wake mpya aina ya BMW X6 lenye plate number za "RUDE BOY"na kwa moyo wa utu aliokua nao ndio uliomponza,coz alisimama njiani kutoa msaada kwa waliopata ajali na watu wawili kutokea pasipojulikana na kumtolea bastola na kumpora simu,fedha na vito vya thamani na vinginevyo.........

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.